Bukobawadau

MZEE WA UPAKO AMPONDA TB JOSHUA

Ktk hali isiyotegemewa na wengi mzee wa upako ktk kipindi chake kinachorushwa channel 10 ametumia asilimia kubwa kumponda Nabii toka Nigeria Tb JOSHUA kuwa ni tapeli,mbulukenge anaetaka kujipatia fedha toka kwa maraisi wa afrika mashariki,itakumbukwa hv karibuni TB JOSHUA alitabiri kutatokea mauaji ukanda wa afrika mashariki na pia Rais mmoja atatekwa,kufatia utabiri huo mzee wa upako ndo kaamua kumjibu kwenye mahubiri yake akihubiri huku akishangiliwa amedai ALSHABABY hawawezi kuipiga Tanzania na pia yy mzee wa upako anaweza kuwashughulikia peke yake kwa kua ana uwezo wa kuingia somalia ndan ya masaa 3 tu,akaendelea kusema anachofanya TB JOSHUA ni kutabiri mvua wakati wa masika,akasema anawadanganya wajinga wenzake tu,amewataka watz wasiogope kwenda popote pale akamalizia kua hakuna mtu wala kikundi kitakachoweza kumteka rais KIKWETE wala kushambulia TANZANIA
Next Post Previous Post
Bukobawadau