Bukobawadau

Skylight Band kutoa burudani adimu kwa mashabiki wake ndani ya Escape One sikukuu ya X-MASS na BOXING DAY

DSC_1309

Kutoka kushoto ni Kipaji kipya ndani ya Skylight Band anafahamika kama DONODE, DIGNA MBEPERA, SAM MAPENZI na ANETH KUSHABA AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani ambapo X-MASS pamoja na BOXING DAY watakinukisha kwenye kiota cha Escape One kwenye upepo mwanana wa bahari.....Njoo ufurahie mapumziko yako na Band nambari moja mujini wengine wanafuata.

DSC_1315

Aneth Kushaba AK47 katika hisia kali.

DSC_1335

Digna Mbepera akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_1340

Shabiki wa Skylight Band Zulekha alishehereke siku yake ya kuzaliwa ndani ya Thai Village na kupata bahati ya kuimbiwa wimbo maalum wa Happy Birthday na Divas wa Skylight Band.

DSC_1343

Eeeeh Shosti njoo niku-hug mweeee hongera jamani.....!!! Full mashamsham na mashosti zake.

DSC_1344

Mashamsham moto moto....raha iliyoje....!!! Kwa wale wote watakaozaliwa tarehe 25 sikukuu ya X-MASS watapata wasaa wa kuimbiwa wimbo wa Birthday na Skylight Band kama ilivyokuwa kwa mdau pichani.

DSC_1387

Anafahamika kwa jina la Donode ni kipaji kipya cha Skylight Band.....Lione Richie wa Bongo njoo umshuhudie X-Mass hii pamoja na Boxing Day ndani ya Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_1390

Mdogo mdogo mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwenye dancing floor Juma lilipotia.

DSC_1394

Skylight Band inagusa rika zote haijalishi....kama inavyoonekana pichani.

DSC_1401

Nyomi ya mashabiki wa Skylight Band ikiendelea kumiminika kwa dancing floor.

DSC_1403

Madada wakijiachia kwa raha zao....!!!

DSC_1407

Mary Lukas na Digna Mbepera wakifanya yao jukwaani.

DSC_1416

Tuache sie kwa raha zetu.....Skylight Band ndio mambo yote...!!!

DSC_1424

DSC_1437

Usipime bwana.....Skylight Band ndio mpango mzima...!!!

DSC_1439

Mpiga Drumz wa Skylight Band Idrisa akifanya yake.

DSC_1454

Yachuma minataka mukanda ya chuma.....Mguu wa kushot mbele wa Kulia nyuma......Mashabiki wa Skylight Band wakichiziki na staili hiyo inayobamba kwa kasi.

DSC_1449

DSC_1370

Rappa Joniko Flower akisebeneka vilivyo kuwapa raha mashabiki wake.

DSC_1495

Aneth Kushaba AK47 naye hakubaki nyuma ni mambo ya SKELEWU........SKELEEEEE...!!!

DSC_1372

Baada ya wiki ndefu sasa ni muda wa ku-enjoy holiday na burudani ya Skylight Band......Wadau wakiwa wame-relax huku wakigonga vyombo taratibu.....!!!

DSC_1446

Mtangazaji wa Luninga namba moja la Vijana EATV, Adrian Hillary Stepp akishow love na mdogo wake.

DSC_1459

Digna Mbepera wa Skylight Band akishow love na shosti wake kipenzi.

DSC_1471

Wadau wa Skylight Band wakishow love na Ukodak.

DSC_1473

DSC_1476

Usione kaloa jasho...hii yote ni Gwaride la Skylight Band, huna haja ya Gym hili ni zoezi tosha.

DSC_1478

Mduara ulihusika pia kama kawaida.

DSC_1499

Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo mbalimbali kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM, IFM, CBE na vingine kibao walijumuika na Skylight Band kusheherekea mapumziko ya mwisho wa mwaka.

DSC_1500

Walimwagaje radhi kwa raha zao....!!!

DSC_1502

DSC_1508

Next Post Previous Post
Bukobawadau