Bukobawadau

MZEE DUDE MUIGIZAJI WA FUTUHI AFARIKI DUNIA

 Inauma lakini ndio hivyo tena...mzee huyu ambaye ni mmoja kati ya wasanii walioanzisha kundi la Futuhi na kulifanya ling'are vilivyo kupitia kituo cha luninga cha Star TV, hatunaye tena duniani.
 Mzee Dude amefariki dunia Leo mida ya saa kumi na moja jionI.
Habari zinasema kuwa alizidiwa jana Jumapili na kukimbizwa katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.
Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Mzee Dude.

Next Post Previous Post
Bukobawadau