Bukobawadau

MATOKEO YA AWALI JIMBO LA KALENGA KUTOKA VITUO MBALIMBALI UCHAGUZI MDOGO MATCHI 16,2014

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CCM,Ndugu Godfreya Mgimwa akiwa amebebwa juu na wafuasi wake usiku huu, Match 16,2014 wakati wakisubiri matokeo rasmi kutangazwa.
 Kamanda wa CCM mkoa wa Iringa Salim Asas akicheza kwa shangwe viwanja vya CCM Mkoa kusherekea ushindi wa CCM Kalenga.
Matokeo ya awali yasiyo rasmi  uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kalenga mpaka usiku huu kutoka vituo mbalimbali CCM inaongoza kwa mbali.
Next Post Previous Post
Bukobawadau