Bukobawadau

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAKE NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE

IMG_5118
Waimbaji wa Skylight Band kutoka kushoto Hashim Donode, Digna Mbepera, Winfrida Richard na Aneth Kushaba AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar...Ni Ijumaa zote wako Thai Village bila kusahahu Jumapili kwenye Family Day Bonanza ndani ya kiota cha Escape One Mikocheni.
IMG_5100
Raia wa kigeni (Watasha) wakionekana kuchizika na burudani ya Skylight Band.
IMG_5139
Hashim Donode na Winfrida Richard wakifanya yao jukwaani.
IMG_5164
Winfrida Richard akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Ban (hawapo pichani) huku Aneth Kushaba AK47, Hashim Donode na Digna Mbepera wakisebeneka.
IMG_5185
Burudani mwanzo mwisho ndani ya kiota cha Thai Village...Hapana chezea Skylight Band.
IMG_5189
Sam Mapenzi sambamba na Hashim Donode na Sony Masamba wakikonga nyoyo za mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
IMG_5216
Na watuache kwa raha zetu... Skylight Band ndio habari ya mujini.
IMG_5218
Mwanadada akisuuzika na burudani ya Skylight Band.
IMG_5110
Sony Masamba na Mpiga drum wa Skylight Band Idrissa wakionesha ufundi wao wa kusakata sebene kwa mashabiki wao.
IMG_5219
Mpiga Solo wa Skylight Band, Allen Kisso Mzuzu akifanya yake jukwaani.
IMG_5231
Mashabiki wakifanya yao kwa dancing floor....ni raha....!
IMG_5240
Chukua baba umeukonga moyo wangu......Sam Mapenzi akitunzwa na shabiki wake.
IMG_5233
Mamia ya mashabiki wa Skylight Band wakisebeneka na burudani ya aina...ni Skylight Band pekee inakupa burudani adhimu kama hizi.....!!!
IMG_5234
Watu weweeeeeeee ngoma inogile....Skelewu.....Skelewu......!!
IMG_5238
IMG_5228
Naitwa Aneth Kushaba AK47 na hizi ndio swagga zangu...Njoo leo tuimbe na kucheza wote ndani ya Thai Village Masaki jijini Dar.
IMG_5183
Jambo Tanzania....We are number one fans of Skylight Band...!
Next Post Previous Post
Bukobawadau