Bukobawadau

MHE HASSAN MAMBA BANTU KATIBU WA UCHUMI WA WILAYA MOROGORO MJINI NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA AKUTANA NA MABALOZI WA JUMUIYA YA ULAYA

Kutoka kulia  ni Mhe HASSAN Mamba Bantu Katibu wa Uchumi  wa CCM wa Wilaya ya Morogoro Mjini akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Jumuiya ya Ulaya wa Guyana, Tanzania na Afrika ya Kusini. Mhe Bantu yuko Ubelgiji kwenye ziara ya mafunzo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau