Bukobawadau

TANZIA;MAMA MZAZI WA MBUNGE ZITTO KABWE, SHIDA SALUM AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA).Bi Shida Salun,na Mjumbe wa kamati Kuu ya chama cha CHADEMA,aliyekuwa amelazwa chumba cha Wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU),katika Hospitali ya AMI,Masaki jijini Dar,ameaga Dunia.
Zitto kupitia mtandao wa Twitter amearifu kuwa mama yake amefariki dunia leo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau