Bukobawadau

MASHUJAA BAND KUPAGAWISHA BUKOBA AUG 14,2014

Wanaitwa Shemeji Invest wakishirikiana na Ibracadabra wanakuletea ile Band bora,Mashujaa Music Band,watoto wa mama Sakina,siku ya tarehe 14/08/2014,Ndani ya ukumbi wa Lina's night clab.
 Mashujaa Band,Wazee Wa Posoposo ndio Band Bora hapa nchini, Mdau Jipange tuwemo katika hili.
Next Post Previous Post
Bukobawadau