Bukobawadau

BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKUU WA IDARA YA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA JIJI LA OESTENDE LA UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu  Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Jiji la Oestende la Ubelgji Mhe. Collins Nweke (katikati). Mhe. Collins alifika ofisini kwa  Balozi Kamala kumweleza mipango ya Jiji la Oestende kushirikiana na Tanzania. Kushoto ni Mhe. Nyamtara Mukome  Mratibu wa Masuala ya Uchumi katika Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji.

BALOZI KAMALA NA KATIBU MKUU WA TAASISI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI

Balozi wa Tanzania Ubelgji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akiwa katika  picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Kusambaza Umeme Vijijini katika nchi  zinazoendelea Bwana. Marcus Wieman (katika). Bwana Wieman  alikutana na Balozi Kamala leo Brussels kumweleza mipango ya taasisi yake ya kusambaza umeme vijijini katika nchi zinazoendelea.

Next Post Previous Post
Bukobawadau