Bukobawadau

BALOZI KAMALA AKUTANA VIONGOZI WAANDAMIZI WA BENKI BENKI YA BNP PARIBAS

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Benki ya Kimataifa ya BNP PARIBAS baada ya kumaliza kikao nao leo Brussels. Wa kwanza kulia ni Bwana Guy Vandevelde Makamu wa Rais wa Benki hiyo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau