TAARIFA; KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU
TAARIFA KWA VYOMBO
KIKAO MAALUM CHA KAMATI
KUU YA CHAMA
Taarifa
inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) inatarajiwa kukutana jijini Dar es Salaam katika kikao
maalum cha siku mbili, tarehe 14-15 Oktoba, 2014.
Pamoja na
masuala mengine, Kamati Kuu ya Chama itajadili mambo mbalimbali katika agenda
zifuatazo;
·
Mchakato
wa Mabadiliko ya Katiba
·
Maandalizi
ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji
·
Operesheni
za Ujenzi na Uimarishaji wa Chama
·
Taarifa
ya Fedha
Kikao hicho
kitatanguliwa na hotuba ya ufunguzi ambapo vyombo vya habari vinaalikwa.
Imetolewa leo Jumatatu, Oktoba 13,
2014 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari- CHADEMA