Bukobawadau

DK. SLAA AENDELEA KUTIKISA VIJIJNI OPERESHENI DELETE CCM

 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa akihutubia maelfu ya wananchi wa Kijiji cha Ludewa, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro katika mkutano wa Operesheni Delete CCM.
Mkutano huo ulifanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ludewa juzi. (Na mpiga picha wetu).
Next Post Previous Post
Bukobawadau