Bukobawadau

SALAAM ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA MTENSA

Nimepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha ndugu / rafiki yetu Mutensa. Binafsi ninauchukulia ni msiba wa wana Kagera wote. Marehemu Mutensa alikuwa ni mpambanaji aliyejitahidi kuibadilisha Bukoba kwa jitihada za ujasitiamali. Ni miongoni mwa wazaliwa wa Bukoba ambao kwao Bukoba ilikuwa ni kila kitu, kuwekeza Bukoba kuna changamoto nyingi. Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake litukuzwe. Tumuombe Mungu aipokee roho ya marehemu na ampatie pumziko la amani. 
Anic Kashasha - Dar es Salaam
Next Post Previous Post
Bukobawadau