Bukobawadau

CHRISTIAN BELLA & MALAIKA BAND KUFANYA YAO NDANI LINAS NIGHT CLUB - DEC 26,2014!

BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella 'Obama' Mzee wa masauti, Christian Bella 'Obama' kufanya yake ndani ya Linas Night Club usiku wa tarehe 26,12,2014 hii ni Sheedah nyingine kwa wakazi wa Mji wa Bukoba na Viunga vyake
Unaambiwa ata ukiwa na njaa basi  Ukimsikiliza Christian Bella (njaa kwisha kabisa)kutoka na uwezo wake na Style ya kipekee kwenye muziki wa dansi!
Next Post Previous Post
Bukobawadau