Bukobawadau

KAMPUNI YA KUTANGAZA UTALII YA TRAVEL XENARJO YA UNELIGIJI YAKUBALI KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII VYA TANZANIA

Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala P akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Masoko wa kampuni ya kutangaza utalii ya Travel Xenarjo ya Ubeligiji Bi. Dana Maes baada ya kutembelea Banda la kampuni hiyo inayoshiriki Maonesho ya Utalii ya Brussels. Kampuni hiyo imekubali kutangaza vivutio vya utalii vinavyopatikana Tanzania baada ya Balozi Kamala kuiomba kampuni hiyo kufanya hivyo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau