Bukobawadau

BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MAANDALIZI YA KONGAMANO LA BIASHARA LA AFRIKA NA UBELIGIJI

Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na WAjumbe  wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Biashara la Afrika na Ubeligiji linalotarajiwa kufanyika Ubeligiji mwezi ujao. Wajumbe hao wamekutana na Balozi Kamala ofisini kwake Brussels. Tanzania ni nchi pekee kutoka nchi zinazozungumza kingereza iliyohalikwa kushiriki Kongamano hilo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau