Bukobawadau

BALOZI KAMALA AWEKA SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI WA JAMHURI YA VANUATU UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiweka saini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Jamhuri ya Vanuatu. Vanuatu imekumbwa na kimbunga kilichosababish uharibifu wa miundombinu na mamia ya watu kupoteza maisha.
Next Post Previous Post
Bukobawadau