Bukobawadau

RONALDO AWEKA REKODI KWA UFUNGAJI (UEFA) FULL TIME:REAL MADRID 3-4 SCHALKE

 Mchambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake la pili dhidi ya Schalke na  hivyo kuweka rekodi mpya kwa kuongoza safu ya wafumania nyavu katika ligi ya mabingwa Ulaya .Ronaldo (Sporting Lisbon, Manchester United ,Real Madrid) mwenye mabao 78 ameweka historia mpya dhidi  ya Lionel Messi (Barcelona)mwenye mabao 76 na Raul (Madrid ,Schalke mwenye rekodi ya kufunga mabao  77.
 Real Madrid wamefuzu kwa mkondo ujao licha ya kuchapwa mabao 4-3 na Schalke 04 ya Ujerumani.
Ronaldo akifuatilia kwa macho  mpira wa bao lake la kwanza dhidi Schalke na kumuacha  bila jinsi kipaTimon Wellenreuther.
 Real walianza mechi hii wakiwa na mabao mawili ya ugenini kufuatia ushindi wao wa mkondo wa kwanza, mpaka kipenga cha mwisho Real Madrid 3-4 Schalke (5-4)
  Mchezaji Yacine Brahimi anaipatia Schalke bao la kwanza kwa kuunganisha mpira wa adhabu
 Mfaransa Karim Benzema anaipatia timu yake ya Real Madrid bao la tatu.
Mchezaji  Klaas-Jan Huntelaar wa Schalke akishangilia baada ya kuipatia timu yake bao la pili na kuongoza mnamo dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza cha mchezo .
WAFUNGAJI BORA LIGI YA MABINGWA ULAYA (PAMOJA UEFA SUPER CUP)





Next Post Previous Post
Bukobawadau