Bukobawadau

AJALI YA BASI LA NGANGA LILILO GONGANA USO KWA USO NA FUSO NA KUTEKETEA KWA MOTO!

 Basi la Nganga linalofanya safari Iringa - Kilombero limegongana uso kwa uso na fuso kisha magari hayo kuteketea kwa moto huko maeneo ya milimani km kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kama unaenda Morogoro.
Watu kadhaa wamepoteza maisha akiwemo dereva wa fuso hilo na wengine wamekufa kwa kuteketea na moto.
Ajali hyo imetokea leo asubuhi saa 2.
Next Post Previous Post
Bukobawadau