Bukobawadau

NJOO TUSHEHEREKEE MEI MOSI PAMOJA NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHATHAI VILLAGE, MASAKI

DSC_0265
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu huku msanii mwenzake Sony Masamba akiendlea kuzirundi ngoma ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Usikose leo kwenye shoo yao maana kuna vitu vingi vipya.
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi uku wakisindindikizwa na dada mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni Ashura Kitenge(wa kwanza kushoto).
Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake waliokuwa wakiziruzi ngoma za Nigeria ambao ni Joniko Flower(wa kwanza kushoto), Ashura Kitenge(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sony Masamba.
Burudani ikiendelea.
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiongoza kikosi cha bend ya Skylight waliokuwa wakitoa burudani kwa mashabiki wao (hawapo picha) kwenye kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
Waimbaji wa Skylight Band wakicheza moja ya nyimbo zao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki i wa bendi hiyo(hawapo pichani) waliofika kwenye Kiota Cha Thai Village kuburusika na Bendi hiyo.
Msanii wa bendi ya Skylight, Sony Masamba akicheza mmoja ya style mpya ya bendi hiyo mbele ya mashabiki wao(hawapo pichani)
Joniko Flower na Sony Masamba wakiwatizama mashabiki wa bendi hiyo kama wamejua kucheza style mpya.
Msanii wa Bendi ya Skylight, Sony Masamba(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni Ashura Kitenge(wa kanza kulia) pamoja na Sam mapenzi( katikati)
Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani)
Mashabiki wakiendelea kuziruka ngoma za bendi ya Skylight
Waimbaji wa bendi ya Skylight wakiendelea kutoa burudani ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar usikose leo njoo na yule umpendae ili ujionee raha ya bendi hii
Mambo ya Selfie hayakosi ndani ya Kiota cha Thai village wakati wa beni ya Skylight ikiendelea kutoa burudani.
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower (wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni Sony Masamba (katikati) pamoja na Sam mapenzi (wa kwanza kutoka kulia)
Mashabiki na wapenzi wa Bendi ya Skylight wacheza mduara wakati wa bend hiyo ikitoa burudani ndani ta kiota cha Thai Village masaki jijini Dar.
Ashura Kitenge akiimba mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na wanamziki wenzake ambao ni Sony Masamba(wa kwanza kushoto), Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(wa pili kutoka kushoto) pamoja na Joniko Flower(wa kwanza kutoka kulia)
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiimba na mwanamziki mwenzake Sony Masamba ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar
Joniko Flower na mwanamziki mwenzake Sony Masamba wakizirudi ngoma za kikongo
Ashura Kitenge akiimba mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(kushoto) pamoja na Sam Mapenzi(kulia)
Ilikuwa ni kusakata rumba mpaka kuchwee yaani ilikuwa ni noma sana
Mmoja wa mashabiki wa Bendi ya Skylight akichukua kumbukumbu
Next Post Previous Post
Bukobawadau