Bukobawadau

UCHAGUZI MKUU; RATIBA UCHUKUAJI,UREJESHAJI FOMU UTEUZI NDANI YA CHAMA CHA CHADEMA



CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDEKELEO
(CHADEMA)
RATIBA YA UCHUKUAJI FOMU, VIKAO VYA UCHUJAJI NA UTEUZI WA WAGOMBEA NDANI YA CHAMA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2015.
18/05 – 25/06/2015
Kuchukua na kurejesha fomu za Udiwani Kata ambazo hatuna Madiwani.
Makatibu Kata/Jimbo na Wilaya
01/7 – 10/7/2015
Kuchukua na kurejesha fomu Kata ambazo tuna Madiwani.
Makatibu Kata/Jimbo na Wilaya.
15/7 – 20/7/2015
Uteuzi wa mwisho Wagombea Udiwani Kata pamoja na wale wa Viti maalum.
Kamati Tendaji za Majimbo.



18/5 – 25/6/2015
Kuchukua na kurejesha fomu za Ubunge Majimbo ambayo hatuna Wabunge kwa sasa, pamoja na Fomu za Ubunge wa Viti Maalum.
Makatibu wa Majimbo, Wilaya, Mikoa na Makao Makuu.
6/7 – 10/7/2015
Kuchukua na kurejesha fomu za Ubunge Majimbo ambayo tuna Wabunge kwa sasa.
Makatibu wa Majimbo na Wilaya.
20/7 – 25/7/2015
Uteuzi wa awali wagombea Ubunge.
Kamati Tendaji za Majimbo.
20/7 – 25/7/2015
Kuchukua na kurejesha Fomu za Mgombea Urais.
Makao Makuu
1/8 – 2/8/2015
Uteuzi wa mwisho wa Wagombea Ubunge kufanyika.
Kamati Kuu Taifa.
3/8/2015
Baraza Kuu Taifa
Kamati Kuu
4/8/2015
Mkutano Mkuu Taifa
Baraza Kuu
Next Post Previous Post
Bukobawadau