Bukobawadau

MLANGIRA BEN KATARUGA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SEGEREA

Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala, Ernest Chale kushoto akimkabidhi fomu Mlangira Ben Kataruga.
Mlangira Ben Kataruga aliyekuwa anashawishiwa na wakazi wa Jimbo la Segerea kugombea ubunge wa jimbo hilo,Siku ya jana Ijumaa 17 Julai 2015 alifika ofisi ya CCM wilaya ya ILALA na kukabidhiwa fomu ya kugombea Ubunge kupitia ticketi ya CCM.
‪#‎UmojaNiUshindi‬
Next Post Previous Post
Bukobawadau