Bukobawadau

MIKOPO KWA WAJASIRIAMALI WA KATI NA WAFANYAKAZI

Je umekwama kifedha?,Hujui wapi pa kwenda? Je unahitaji kutimiza ndoto na malengo yako? usihangaike
Kampuni ya mikopo ya wezesha mzawa microfinance ltd inatoa mikopo kwa wajasiriamali wa kati na wafanyakazi wa sekta zote ikiwemo biashara,viwanda na ufugaji.
Kiwango cha mkopo kinaanzia 500,000/= hadi 50,000,000/=
Mkopo unatolewa ndani ya masaa 24

Sifa za mkopaji
.uwe ni mtanzania mwenye umri usiopungua miaka 18
.uwe n uzoefu wa biashara usiopungua
.uwe na namba ya utambulisho wa kodi (TIN)
.Uwe na mkataba wa kazi (kwa mfanyakazi)
.Uwe umeajiriwa na kampuni inayotambulika na kusajiriwa na serikali(kwa mfanyakazi)
Ofisi zetu zipo Bamaga ,jengo la Global publishers.Tupigie kwa simu namba
0715 620824
Nyote mnakaribishwa

Next Post Previous Post
Bukobawadau