Bukobawadau

TANGAZO LA MSIBA WA MAMA JUDITH TARIMO

Familia ya Marehemu Cyprian Tarimo ya Ukonga, Mombasa Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Mama Judith Tarimo kilichotokea Oktoba 25,2015 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Ukonga-Mombasa na Rombo Mahida, Mkoani Kilimanjaro. 

Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote wa ukoo wa Tarimo na Shayo, popote pale wa lipo. 

Mwili wa marehemu unataraji kuagwa Oktoba 28,2015 kabla ya kusafirishwa siku hiyohiyo kwenda Mahida Rombo kwa maziko Alhamisi Oktoba 29,2015.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA YESU LIHIMIDIWE AMEN. 
Next Post Previous Post
Bukobawadau