Bukobawadau

RC MONGELLA NA JITIHADA ZA KUIMIZA USAFA

Mkuu wa mkoa wa Kagera na serikali ya mkoa kwa ujumla wamefunga vibanda vya mama ntilie na wauza pombe za kienyeji kwa muda usiojulikana ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu unaoikumba nchi kwa ujumla.Hii imekuja siku moja baada ya rais Pombe Magufuli kuagiza sherehe za uhuru zitumike kufanya usafi ili kukabiliana na kipindupindu.
Mpaka sasa hospital ya mkoa ina wagonjwa 26.
Tayari mkuu wa mkoa wa Kagera ameanza jitihada za kuimiza usafi kwa kutembelea mitaani na kuhakikisha mitalo yote inasafishwa.
Next Post Previous Post
Bukobawadau