Bukobawadau

MATUKIO BUNGENI DODOMA

Turn off for: Swahili
Wabunge wakiingia bungeni mjini Dodoma.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Wabunge wakijadiliana jambo ndani bunge
Wabunge wakipata habari kupitia kwenye simu bungeni
Mbunge wa Jimbo la Momba, David Silinde akichangia hoja bungeni
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akichangia hoja
Majadilianao yakiendelea



Wabunge, Prosper Mbene, Dk.Mary Mwanjelwa na Allan Kiula wakiingia bungeni

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akijibu maswali bungeni
Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Kisanga akiuliza swali
Waziri wa Viwanda na Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akijibu maswali
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Huruma ya Dodoma wakitambulishwa bungeni

Next Post Previous Post
Bukobawadau