Bukobawadau

TANZIA UK DIASPORA GLASGOW.

Tunasikitika kuwatangazia msiba wa Mtanzania mwenzetu 
Bi Mwasaburi Haji
kilichotokea Jumamosi jioni huko Glasgow Scotland.

Mipango ya mazishi inaendelea na mtajulishwa tarehe ya mazishi.
Msiba uko nyumbani kwa Marehemu
2/1, 105 Mcculloch St. Glasgow, G41 1NT.

Kwa wale mlioguswa mnaweza kutuma rambi rambi zenu kwenye account ya
ndugu wa marehemu 
A. AZIZ.
Nationwide.
Account No: 01491791
Sort code: 07 04 36.
Kwa mawasiliano zaidi mnaweza kumpigia ndugu wa Marehemu
A. AZIZ - 07411445644

Inna Lillahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Next Post Previous Post
Bukobawadau