Bukobawadau

UMATI WASHIRIKI MAZISHI YA OMULANGIRA DAUDI MBONEKO KIJIJINI NYABIOKWO BWAJWAI


Mamia ya waombolezaji wameweza kushiriki mazishi ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko yaliyofanyika jioni ya Jana June 8, Nyumbani kwake Kijijini Nyabiokwo Bwanjai -Missenyi


Sehemu ya wanakwaya wa Bethania wa Kanisa Kuu la KKKT mjini Bukoba

Ibada ya Mazishi ya  Omulangira Daudi Mboneke ikiwa inaendelea

Endelea kuwa nasi mpaka mwisho wa Ukurasa huu kwa mtiriko mzima wa matukio ya picha 120
Mzee Deo (Deka ) Rugaibula pichani kulia akiteta na shemeji yake
Wanafamilia ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko kulia ni Dk. Venant Mboneko

Mchungaji akitoa mahuburi ya maziko

Taswira mbalimbali kutoka msibani hapa ,Shughuli ya mazishi ya Omulangira Daudi Mboneko

Baadhi ya waombolezaji kama wanavyo onekana pichani Ibada ya maziko ikiendelea...



Ombolezaji wakiendelea kushiriki Ibada ya Maziko hayo iliyofanyika jioni ya Jana June 8,huko Kijijini Nyabiokwo-Bwanjai Wilayani Missenyi


Mr Mutayoba pichani kushoto na Dk Venus Mboneko pichani kulia

Mulangira Ben Kataruga pichani kushoto na Mdau Mutayoba rafiki wa familia hii

Umati wa watu kutoka maeneo mbalimbali waliohudhuria shughuli ya maziko hayp
Waombolezaji wakiendelea kushiriki Ibada maalum kwa ajili mazishi ya Omulangira Daudi Mboneko
Omulangira Rugaibula pichani kushoto akishiriki na wanafamilia katika Ibada ya maziko
Ndugu Rahym Kabyemela ambaye ni rafiki wa familia ya Marehemu Omulangira Daudi Mboneko

Baadhi ya wanafamilia wakiendelea na shughuli ya Ibada ya maziko
Dk. Venus Kataruga kushoto na Bi Happiness Essau wakati Ibada ikiendelea

Poleni Sana wafiwa Timu nzima ya Bukobawadau,tunaungana nanyi katika kipindi hiki kigumu



Watoto wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakitoa heshima zao za mwisho
Pole sana Mulangira Ben Kataruga kwa kuondokewa na Mlezi Baba mdogo wako
Omulangira Ben Kataruga akitoa heshima zake za mwisho .

Wakato Mulangira Ben Kataruga akitoa heshima zake za mwisho  kwa mpendwa Baba yake mdogo
Dokta Venus Kataruga wa mwisho pichani wakati akitoa heshima zake za mwisho.
Utaratibu wa ndugu na jamaa kutoa heshima zao za mwisho ukiendelea

Mdau Jamal Kalumuna akitoa heshima zake za mwisho



Zoezi la kutoa heshima za mwisho kwa mpendwa wetu likiendelea


Watoto wa Marehemu wakiungana na waombolezaji kutoka heshima zao za mwisho


Mh. Phocas Diwani wa Kata ya Bwanjai Missenyi akitoa heshima zake za mwisho
Marehemu Omulangira Daudi Mboneko pichani wakati wa Uhai wake
Baadhi ya wajukuu wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakitoa heshima zao za mwisho

Pole sana Frola kwa kuondokewa na Babu yako mpendwa

Mzee Kanati akishiriki kutoa heshima za Mwisho kuaga mwili wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko
Wasifu wa marehemu ukisomwa na wajukuu.

Mdau Yunus Kabyemela wakati akiwasili kushiriki mazishi ya Omulangira Daudi Mboneko

Wajukuu wa Marehemu Omulangira Daudi Mboneko wakiendelea kusoma wasifu wa Babu yao mpendwa
Mchungaji Milton wa Ushirika wa KKKT Bwanjai
Jeneza lenye Mwili wa Omulangira Daudi Mboneko likiingizwa kaburini.
Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Omulangira Daudi Mboneko !!
Wasaa kwa ndugu marafiki na wanafamilia kuweka mashada ya maua


Wakato Mulangira Mzee Rugaibula akielekea kuweka shada la maua
Omulangira Rugaibula akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Omulangira Daudi Mboneko
Mama Kataruga akiweka shada la maua

 Taswira kutoka eneo la kaburi.
 Utaratibu wa wanafamilia kuweka mashada ukiendelea...
 Hivi ndivyo ilivyokua safari ya mwisho wa Maisha ya Omulangira Daudi Mboneko
 MWISHO wa enzi maisha ya Omulangira Daudi Mboneko!!
Bukobawadau Blog tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu!

Next Post Previous Post
Bukobawadau