Bukobawadau

Hongera kwako Mdau wetu Frank Theo kwa safari ya masomo yako ya PhD!

Hongera kwako Mdau wetu Frank Theo kwa safari ya masomo yako ya PhD! 
Tunayanukuu maneno hako haya katika kukupongeza wewe na familia yako;'Ni kwa neema zake mungu nimekuwa hivi nilivyo. Hatimaye safari yangu ya masomo yangu ya PhD imehitimishwa leo. Namshukuru sana mungu kwa kunilinda mpaka siku hii ya leo mpaka kumaliza hii PhD kwa mafanikio. Namshukuru sana mke wangu mpenzi Joymertha Frank na wanangu Collins na Hellen kwa kunitia nguvu na sala zenu. Asanteni ndugu jamaa na marafiki kwa sala zenu na mbarikiwe sana..'
Next Post Previous Post
Bukobawadau