Bukobawadau

KIKAO MAALUM CHA UVCCM MANISPAA BUKOBA

 Kikao maalum cha Jumuiya UVCCM Manispaa Bukoba chini ya Mwenyekiti wao Mpya Bwana Ashraf Kazinja kilichofanyika mwishoni mwa juma lililopita katikaUkumbi wa Red Cross Mjini Bukoba,Kikao hicho kilichokuwa na agenda mbalimbali kimehudhuriwa na Makada wa chama cha Mapinduzi CCM Manispaa Bukoba na Mgeni Rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya Bukoba Mhe. Deodatus Kinawilo.
Katika kikao hicho wajumbe wamepata kukumbushwa majukumu yao kiutendaji  na kuelimishwa kuhusu mahusiano ya Chama na Serikali na nafasi ya UVCCM katika uenezi wa siasa za Chama.
 Pichani kushoto ni Mwenekiti wa UVCCM Manispaa Bukoba Ashraf Kazinja na kulia ni Bwana Erick Kaimba ambae ni Katibu  mtafiti Sera na Msemaji wa UVCCM Manispaa Bukoba.
 Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria kikao hicho kilichofanika Siku ya Jumamosi Aug 20 katika Ukumbi wa Red Cross Mjini Bukoba.
Katibu wa CCM Wilaya ya Bukoba Bw. Gerald (Chakaza  akizungumza na Mwenekiti wa UVCCM Manispaa Bukoba, Ashraf Kazinja
 Katika kikao hicho Wajumbe wamepata fursa kupata mafunzo ya Ujasiriamali ,na uendeshaji wa Miradi yaliyotolewa na Bwana Richard George ambaye ni Afisa mendelea ya Jamii mwandamizi wa halmashauri ya Manispaa Bukoba
Baadhi ya Viongozi wa Matawi wakiendelea kufatilia maswala mbalimbali yanajiri ukumbini hapo
 Bwana Shafii ambae ni Mjumbe katika kikao hicho  akiuliza swali.
Afisa mendelea ya Jamii mwandamizi wa halmashauri ya Manispaa Bukoba,Richard George  wakati akiendelea kutoa mafunzo ya Ujasiriamali kwa Wajumbe waliohudhuria kikao cha UVCCM Manispaa Bukoba.
 Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Bukoba Bwana Philbart Katabazi (Nyerere)pichani
 Baadhi ya Wajumbe na Viongozi wakiendelea kushiriki kikao cha UVCCM Manispaa Bukoba
 Muendelezo wa matukio ya picha yaliyojiri katika kikao hiki ambacho ni kikao cha pili cha UVCCM Manispaa Bukoba baada ya kumpata mwenekiti wao Mpya Bwana Ashraf Kazinja aliyechagulia tarehe 8 March 2016  kuziba pengo liliachwa na aliyekuwa mwenekiti  Bwana Chief Kalumuna.
Bwana Sitobero ambaye ni Katibu wa UVCCM Bukoba Vijijini na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa Kagera akiwaeleza Wajumbe kuhusu nafasi ya Vijana katika utekelezaji wa Ilani ya CCM
 Bwana Najim Bwanika pichani kulia , Mjumbe wa Kikao hicho kilichofanyika siku ya Jumamosi katika Ukumbi wa Red Cross Mjini Bukoba
 Wajumbe wakiendelea kushiriki Kikao hicho.
  Katibu mtafiti Sera na Msemaji wa UVCCM Manispaa Bukoba,Erick Kaimba pichani
Sehemu ya Wajumbe walioshiriki Kikao hicho kilichohudhuriwa na Wajumbe wapatao 240 walioweza kijadili maswala mbalimbali na kuelimisha kuhusu Uhai wa Jumuiya,imani kazi, Muundo wa UVCCM  na Wajibu wa Mwanachama.

Next Post Previous Post
Bukobawadau