Bukobawadau

MKUTANO WA WACHUNGAJI WA KKKT/DKMG 2016

Mkutano wa wachungaji wa KKKT/DKMG 2016 wafanyika Ntoma VTC tangu August 15 hadi 19 chini ya uongozi wa Askofu Dr. Abednego Keshomshahara.  Mchungaji Joseph Bocko awakilisha Kanisa la Kiinjili Kilutheri Marekani katika mkutano huo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau