Bukobawadau

R.I.P MZEE UDD IDD MIRUKO

R.I.P Mzee Udd Idd mwenyekiti wa Mtaa wa Bilele Manispaa Bukoba.
Kifo cha marehemu mzee Udd Idd kimetokea mapema ya leo katika Hospitali ya Mkoa Kagera, Shughuli ya mazishi inatalajiwa kufanyika Kesho jumatano Aug 31 katika Makaburi ya Kishenge Bukoba.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un..!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau