tag:blogger.com,1999:blog-7318621061165679025.post8013445093466551744..comments2023-08-17T15:49:42.035+03:00Comments on BUKOBA WADAU : TASWIRA MAPOKEZI /MAZISHI YA MAREHEMU HATIFU GALIATANO YALIYOFANYIKA LEO 6 DEC,2013 KIJIJINI BUGANGUZI MULEBA.BUKOBAWADAUhttp://www.blogger.com/profile/11880331576139974848noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-7318621061165679025.post-30256209046005687682013-12-08T16:14:32.028+03:002013-12-08T16:14:32.028+03:00Poleni nyotePoleni nyoteAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7318621061165679025.post-88817212683371933862013-12-07T22:52:40.206+03:002013-12-07T22:52:40.206+03:00Innalillahi Wainna Illeyhi raju'un
Poleni sana...Innalillahi Wainna Illeyhi raju'un<br />Poleni sana jamani,,Mwenyezi Mungu Akupeni subira sana nyie wote wafiwa..<br /> Ma'ansha'Allah nyumbani mna ushirikiano sana sana,hasa katika misiba,hii inapendeza sana,Mwenyezi Mungu Akuzidishieni muendelee kuwa na ushirikiano wa namna hilyo,,,Masikini mpaka nimeona watu niliona zamani nikiwa labda na miaka 8 au 7 nikawakumbuka,,Mzee Kakobe nimemkumbuka masikini,katoka Nshamba kuja kuzika,Pia nimeona Bro wangu Yahya Kagambo,,,Nimefurahi nimejihisi nipo na mimi ,,katuwakirisha kaka yetu.Pia Bro Abbakari Sued kanikumbusha mbali mno..<br /> Mjane wa maremu Ma'ansha'Allah Sijdah inawaka usoni,,hope swala yako Insha'Allah itakupa subira wewe na wanao.<br /> Nimeumia sana kumuona Mzee Galiatano analia ooh inauma jamani!Poleni BK,Wadau...MC!!!Jamco ni rafiki wa kweli!!!I love it!<br />Naomba kuuliza,marehemu alikuwa ni mtoto wa Mzee Galiatano au mdogo wake?<br />Mwenyezi Mungu Amlaze marehemu mahali pema Peponi,,,Ya'arabi muondolee adhabu za kaburi,Umfutie madhambi yake na umlipe kwa mema yote aliyotenda hapa duniani,,na wote waliotangulia mbele ya haqi.<br />Poleni sana<br /><br />Hanny LondonAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7318621061165679025.post-75691272463378749932013-12-07T09:13:31.558+03:002013-12-07T09:13:31.558+03:00Pole sana kwa msiba huo. Mungu alitoa na Mungu ame...Pole sana kwa msiba huo. Mungu alitoa na Mungu ametwaa Jina lake lihimidiwe. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.Anonymoushttps://www.blogger.com/profile/16971175200508723868noreply@blogger.com