Homepage BUKOBA WADAU

Bukobawadau

Latest Posts

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Dan...

BUKOBAWADAU 10 May, 2025

MCHUANO WA UBUNGE MISSENYI KAZI KWA WAJUMBE

Leo tunakwenda kutazamia jimbo na wilaya maarufu kwa wasomi wengi nchii hii ambalo ni Nkenge na ni wilaya ya Missenyi ambapo tayari wameomba...

BUKOBAWADAU 10 May, 2025

UGANDA YAZINDUA UJENZI WA OFISI YA UBALOZI JIJINI DODOMA

Serikali ya Jamhuri ya Uganda imezindua mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi ya Ubalozi wake ambao utekelezaji wake umeshaanza kufanyika kati...

BUKOBAWADAU 10 May, 2025

”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”

Soko Kuu la Manispaa Bukoba  limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.

BUKOBAWADAU 13 Apr, 2025

WABUNGE WAPONGEZA SERIKALI MRADI WA SOKO LA KARIAKOO

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa wakipokea maelezo kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi na uk...

BUKOBAWADAU 13 Apr, 2025

WAZIRI KOMBO; HATMA YA MAENDELEO AFRIKA INATEGEMEA ZAIDI UMOJA WETU

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) kwenye Mkutano wa 4 wa Diplomasia wa An...

BUKOBAWADAU 13 Apr, 2025

Mhe Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Jijini Luanda nchini Angola kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa   4 De Fevereiro ...

BUKOBAWADAU 7 Apr, 2025

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Nyumba za Makazi ya Majaji Mkoani Dodoma .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa kumbukumbu pembezoni mwa Jengo la Makao Makuu ya M...

BUKOBAWADAU 7 Apr, 2025

RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelew...

BUKOBAWADAU 26 Mar, 2025