Homepage BUKOBA WADAU

Bukobawadau

Latest Posts

Mhe Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Jijini Luanda nchini Angola kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa   4 De Fevereiro ...

BUKOBAWADAU 7 Apr, 2025

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Nyumba za Makazi ya Majaji Mkoani Dodoma .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa kumbukumbu pembezoni mwa Jengo la Makao Makuu ya M...

BUKOBAWADAU 7 Apr, 2025

RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelew...

BUKOBAWADAU 26 Mar, 2025

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Tshisekedi Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...

BUKOBAWADAU 26 Mar, 2025

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na viongozi pamoja na wajumbe wa   Bodi ya...

BUKOBAWADAU 26 Mar, 2025

Mushemba Foundation Yagusa Maisha ya Wengi Yatoa Misaada Kuelekea Krismasi

Taasisi ya Shirika la Mushemba Foundation, lenye makao yake makuu mkoani Kagera, limeendelea kuwa msaada wa matumaini kwa watu wasiojiweza, ...

BUKOBAWADAU 16 Dec, 2024

Mdau Wa Maendele Salum Kabaju Atembelea Wodi ya Wazazi Hospitali Ya Mkoa na Kutoa Msaada.

Mdau wa Maendeleo Salum Kabaju atembelea Wodi ya Wazazi waliojifungua katika Hospitali ya Mkoa Kagera na Kutoa Msaada wa Vitu Mbalimbali vye...

BUKOBAWADAU 11 Dec, 2024

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaapisha Viongozi mbalimbali Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi kuwa W...

BUKOBAWADAU 10 Dec, 2024

SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE ILIOTOLEWA NA TAASISI YA TAAWANU

TAASISI ya Taawanu imeendelea kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa Wanawake  Mkoani Kagera, lengo likiwa kuwajengea uwezo wa namna ya kuanza ku...

BUKOBAWADAU 25 Nov, 2024